RPC Dodoma kufa na wahalifu Mtumba

Na Barnabas Kisengi-Dodoma  Kutokana na wimbi la uhalifu wa kutumia silaha kuzidi Katika kijiji Cha Mtumba Mkoani hapa ,baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho ambacho ndipo palipojengwa Mji wa Serikali wameliomba jeshi la Polisi Mkoani hapa kuingilia kati suala hilo huku wakiomba ulinzi wa ziada kwa wanawake na watoto ambao ndiyo wanaohujumiwa zaidi.Wakiongea na J